Mcumba wa marehemu Albet Maangeha Bi, Michelle Looise Hancock raia wa Uingereza akiweka shada la maua kwenye kaburi la mpendwa mchumba wake. jana
Mzungu huyo akiwa dada zake Albet kutoka kuliani ni Anna Keneth Mangweha,Magreth Keneth Mangweha na Neema Keneth Mangweha.http://audifacejackson.blogspot.com
Marafiki wa marehemu Albet Mangweha wakiwa kwenye picha ya pamoja na Shemeji yao
NA PICHA DUSTAN
No comments:
Post a Comment