15 June 2013

Angalia PICHA......BAADHI YA MIILI YA WATU BAADA YA KULIPULIWA NA MLIPUKO UNAOSADIKIKA KUWA NI BOMU

Watu saba wamejeruhiwa kwa mlipuko unaohisiwa kuwa ni bomu,mara baada ya mkutano wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) uliokuwa ukifanyika katikaViwanja vya Soweto Mjini Arusha. Kwa habari zaidi Endelea Kuwa nasi.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname