
Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema. Godbless Lema
--
Ombi la kwanza la waleta rufani la
kutaka review ya uamuzi uliotolewa na mahakama ya rufaa juu ya kesi ya
Mh.Lema na kutaka isikilizwe na jopo la majaji 7 limetupiliwa mbali leo
katika mahakama ya rufaa na sasa ni majaji walewale waliotoa hukumu
wamepitia ,Mahakama imetupilia
mbali madai ya kwanza kwa kuwa hayapo based on merits Kesi hii ilifunguliwa tena baada ya Mh.Lema kushinda rufaa tarehe 21 desemba 2012,Warufani safari hii walitaka mahakama ipitie upya uamuzi uliotolewa na jopo la majaji watatu na wametaka kuwe na majaji saba.
mbali madai ya kwanza kwa kuwa hayapo based on merits Kesi hii ilifunguliwa tena baada ya Mh.Lema kushinda rufaa tarehe 21 desemba 2012,Warufani safari hii walitaka mahakama ipitie upya uamuzi uliotolewa na jopo la majaji watatu na wametaka kuwe na majaji saba.
Mahakama imetupilia mbali mashtaka yao na mahakama imewaamuru tena wakata rufaa walipe gharama zote za kesi.
CHANZO JUMA MTANDA
No comments:
Post a Comment