18 April 2013

AIBU::ANGALIA PICHA ZA VURUGU BUNGENI JANA MJINI DODOMA,ASKARI WAKITAKA KUMTOA MH.LISSU NJE WAKAWA WANAZUILIWA NA MH.SUGU NA MH.WENJE


Photo
Taswira ya vurugu zilizotokea bungeni dodoma jana ambapo Mbunge wa mbeya Mh mbilinyi akiskiwa pamoja na wenje, lema na wengineo
wakionekana kwa pamoja wakiwazuaia askari ili wasimtoe nje mh Tundu lissu aliyeamriwa na naibu spika atolewe nje ya ukumbi wa bunge

hapa waziri wa nchi na uratibu wa bunge Mh William Lukuvi akiwaeleza jambo wabunge wa chadema mara baada ya kikao cha bunge kuahirishwa baada ya kutokea vurugu bungen

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname