18 December 2012

HUYU NDIO MWIZI WA POWER WINDOW ZA MAGARI YA WATU JIJINI DAR.Angalia VIDEO JINSI ALIVYO KAMATWA


  Bwana Khasim Ramadhan Juma ambaye ni kiboko kwa uwizi wa vifaa vya magari ya Watu hapa jijini Dar es Salaam,zikiwemo Side mirror,power window,taa za magari na vitu vingine kibao.Mtuhumiwa huyu alidakwa hivi karibuni maeneo ya Mbezi Beach katika hotel ya Farway,baada ya kumuibia Mdau mmoja wa mkazi wa Dar ambaye aliweza kumkata kwa kutumia mtandano wa kiteknolojia ya compyuta na kutiwa nguvuni na wanausalama.check video yake hapo chini

Comments system

Disqus Shortname