12 January 2016

Lowassa Azidi Kuchanua,Aonekana Mwenye Furaha na Afya Njema Ndani ya CHADEMA


Wale wote waliokuwa wakimtakia mabaya rais wa mioyo ya watu Mh lowassa sasa wanaumbuka.
Lowassa anazidi kuchanua na afya inazidi kuwa ya ujana,tofauti na alivyo kuwa Ccm
Hii inamanisha alipo sasa lowassa ni sehemu sahihi zaidi ya alipotoka.Sifa na heshima kubwa ziwaendee mama lowassa na Mwenyekiti Freeman na wana Ukawa wote
Ukawa kwa afya!

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname