Aliyewahi kuwa swahiba wa mbunge mtarajiwa Wema Sepetu, Snura Mushi ametoa kauli zenye mlengo wa kumpiga vijembe Wema.
“
Naepukana na unafiki tena naweza kusema ni roho mbaya chuki kwa
baadhi ya wasanii kuunda makundi ambayo yanatumia muda mwingi kuwadis
wengine, mfano hivi sasa wakata Diamond anawania tuzo za kimataifa eti
kuna watu wanaungana na watu wan je kufanya kampeni ashindwe,” alisema
Snura.
No comments:
Post a Comment