14 June 2015

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU WAMEKUTWA WAMEKUFA BAADA YA KUTUMIA DAWA ZAKUONGEZA NGUVU KUFANYA NGONO.

Wanachuo wa chuo Anambra State wamekutwa wamekufa baada ya kunywa dawa za kuongeza nguvu za kiume.Majirani wahakufahamu mbaka miili yao ilipoanza kuharibika kupelekea kuvunja mlango.Binti aliaga kwa wanafunzi wenzake anakwenda kwa mpenzi wake.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname