Rapa Tyga amefumaniwa akijaribisha gari la Kifahari aina ya Bugatti
kabla hajalinunua akiwa na mwanamke mwingine kwenye gari hio na sio
mpenzi wake ambaye ni Kylie Jenner.
Tyga alikuwa na mpango wa kununua gari
hilo lenye thamani ya dola milioni $1.5 ila baada ya kulijaribisha
alirudi kwenye Range Rover yake na kuondoka.
No comments:
Post a Comment