
Baada yakuandaa mahali na
kumsubiri mtoto wa Obama nchini kwenye mwezi huu wa sita,Binti wakikenya
kushoto ajitokeza nakuomba aolewe yeye wajenge ikulu yao. Binti huyo
ameandika barua kwa mwanasheria huyo akionesha
mapenzi ya dhati amekua akimfatilia muda mrefu mwanaume huyo kwenye
mitandao ya kijamii wala asijipe tabu kwa mtoto wa Obama yeye yupo
tayari kuolewa naye
No comments:
Post a Comment