Madai
mazito! Mshiriki wa Kinyang’anyiro cha Miss Tanzania 2011/12 ambaye
alianza harakati za kunyakua taji hilo akitokea Mkoa wa Shinyanga na
baadaye kutwaa Taji la Miss Kanda ya Ziwa, Glory Samwel anadaiwa
kumchokonoa Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwa kile kinachodaiwa
kuwa ana ukaribu wa ‘kimalovee’ na mpenzi wa Zari, Nasibu Abdul ‘Diamond
Platnumz’.
ambalo wadau wamelishtukia na kubaini kuwa ana mpango wa kuingilia penzi la Zari na kusambaratishia uchumba wa wawili hao.
BOFYA KUISOMA YOTE

No comments:
Post a Comment