Chuo
Kikuu cha Dar es Salaam Kimempatia Mwanamuziki Diamond Platinumz Tuzo
ya the most inspiring Young Man as a music icon..Tuzo Hiyo ilipokelewa
na Mwanamuziki Nick wa Pili kwa Niaba yake kwani yeye alishindwa kufika
katika Hafla ya utoaji wa Tuzo hizo kutokana na Ratiba zake
kumbana....Hongera Kijana unazidi kutupiga gap tu......

No comments:
Post a Comment