06 June 2015

AUNT EZEKIEL MIM NA MOSE IYOBO WA KUFA NA KUZIKANA SIMUACHI NGOO

Chande Abdallah
Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ambaye hivi karibuni alipata mtoto aitwaye ‘Cookie’ amesema kama kuna mwanamke ambaye ana cheti cha ndoa na Moses Iyobo ajitokeze la sivyo hawezi kumuacha

Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Aunt alisema alipokuwa mjamzito amekuwa akipewa vitisho vingi ikiwa ni pamoja na mwanamke kudai ameporwa mumewe huyo.


BONYEZA KUSOMA YOTE

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname