31 May 2015

DIAMOND PLATINUMS ,KHADIJA KOPA WAPAGAWISHA KWA LOWASSA ARUSHA

DSC_0300
MAY 30 2015 Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha ilikuwa siku ambayo Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa alitangaza rasmi kwamba ataomba kibali cha CCM ili agombee Urais wa TZ mwaka huu.Baada ya hapo watu wakaigeukia stage ya burudani ambapo ilikuwepo list pia ya mastaa wa Bongo Fleva ambao walipiga show ya nguvu.
DSC_0037

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname