Msanii Jose Chameleone na familia ya Mayanja wakiwa kwenye kanisa la
Lweza Catholic Cathedral kwenye misa ya kumuada mdogo wao ambaye
alikuwa msanii pia Akay47 [ Emmanuel Mayanja Hummertone ] aliyefariki
usikuwa wa March 16 huko Uganda akiwa kwenye bar ya Rhyno alipokwenda
kutangaza wimbo wake mpya.
Picha na New Vision.
No comments:
Post a Comment