Hii ilikuwa show iliyofanyika mjini zanzibar Nuh mzee wazima taa A.k.A Baba shishi bebe.
Nuh akiwa tayari kufanya makamuzi katika stage live
Baada yakumaliza show na
kuingia mjini Instagram ndipo kazi ilipoanza Nuh alipo post picha
nakuandika kwa lugha yakigeni nakuonekana kuchapia na mashabiki ku
screenshot na kupost nini maana ya lichokiandika super star huyu .
Madongo na maneno
ukichanganya katika coment za picha hiyo Nuh mziwanda aliamua kuonge
mwenyewe na kusema ujumbe huu hapo juu kama unavyo onekana akishutumu
kuwa Hakuzaliwa na kingereza alikikuta na hata anapo kosea nivema
kuelekezwa kuliko watu kukaa nakuanza kuponda pasipo sababu ya msingi.
No comments:
Post a Comment