Mrembo na Staa wa Bongo Movie Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amesema kuwa
katika mahusiano yake ya kimapenzi alitokea sana kumzimikia Hasheem
Thabit kuliko Wanaume wote aliowahi kutoka nao kimapenzi Bongo .
Akizungumza na Gazeti la Kiu hivi karibuni, Kidoti amesema kwa sababu
ambazo amezihifadhi moyoni mwake Hasheem alikuwa na vitu adimu sana
ambavyo hawezi kuvitaja.
Kuhusu Diamond ambae pia amewahi kutoka nae, Kidoti amesema hakuenjoy nae kwani yalikuwa mapenzi ya muda mchache sana
No comments:
Post a Comment