29 December 2014

MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ BURUNDI PIA ALIPOKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI




 Diamond pamoja na team yake nzima wakiwasili  Bujumbura Airport tayari kwa kuanza tour yake ya nchini humo
Diamond akiwa na baadhi ya mashabiki wake waliofika Bujumbura Airport kumpokea

 Baada ya kutoka Airport walielekea kwenye mkutano na waandishi wa habari
 Diamnond akiongea na waandishi wa habari jinsi gani amejitaarisha kukidhi kiu ya mashabiki wake nchini humo
Mafia anzo Kwenye press conference akiongea jambo na Meneja wa Diamond Salaam

 Mdau wa mitindo nchini Burundi akisikilizia wakati diamond akimjbu swali alilouliza

Dj Romy Jons na Mafia anzo Kwenye press conference

Press conference ikiendelea 
 Wadau mbali mbali wakifuatilia mkutano huo

 Baadhi ya wana Burundi wakikimbilia unapopita msafara wa Diamond na team ya wasafi

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname