
Bw.
Hassan na rafiki yake wakiwa ndani ya gari baada ya kuanza safari yao
ya utalii ndani ya mbuga
mashuhuri ya Serengeti mkoani Mara.

Hassan
na rafiki yake wakipozi kwa ajili ya picha baada ya gari kujinasua
kwenye matope..na
hatimaye kuendelea na safari pembeni yao ni mwelekezi
wao (Tour guide)

Mshindi
akiwa sehemu ya mandhari nzuri inayoitwa Ngorongoro plains ndani ya
hifadhi ambapo
waliweza kuangalia kundi kundi kubwa la simba na kupata
maelezo zaidi kutoka kwa mwelekezi wao.

No comments:
Post a Comment