17 November 2014

NUH MZIWANDA AMSALITI SHILOLE DODOMA... DENT WA CBE AMDATISHA KWA MAUNO KWENYE ENTER COLLEGE BASH ILIYOFANYIKA MATEI LOUNGE


Hivi ndivyo ilivyotokea kwenye ENTER CLLEGE BASH 2014.. Show iliyokutanisha wanafunzi wa vyuo vyote vya Dodoma na kukusanyika sehemu moja na kula bata kwa pomoja,Nuh Mziwanda A.K.A (Baba Shishi)wekeend hii alivunja histori katika show zote alizowahi kufanya Dodoma ikiwemo ile ya Fanya yako iliyofanyia miaka miwili iliyopitaa... Hii ndio ilikuwa mara ya kwanza kupata support kubwa sana kwa kuimba na kucheza Mshabiki wa Mkoani Dodoma..Nuh Mziwanda aliwakonga madent kwa mlipuko wa shangwe za nguvu huku vumbi kubwa likitimka juu baada ya kumwomba dent mmoja kuchukua nafasi ya Shilole kwenye wimbo wa Msondongoma .
Alijitokeza mtoto mkali aliyokuwa na mzuka kiasi ya kwamba Nuh kubaki mdomo wazi , Nuh alipewa mauno mpaka akadata mwenyewe.


SHILOLE ATAUWA MTU JAMANI

1 comment:

  1. Other criteria that you might want look into will be the material of the bracelet. replica rolex Watches which have leather tie are great if you are someone who dons a wristwatch all the time, whether it is night or day. fake chanel If you are buying one to wear on a wedding or a merry occasion, gold-plated or silver-plated watches are perfect. fake rolex Additional options you can look for are ceramic, resin or man-made leather tie. fake cartier Are you a gadget nut? Technology has thrown smart watches into your panel. Receive calls, check messages or check the weather, an intelligent watch takes care of everything for you. replica rolex What’s more is, you can really rely on these watches because the brands give you good quality products and have earned your loyalty with their mobile phone range.

    ReplyDelete

Comments system

Disqus Shortname