Story ilianza juzi mwanadada Zari alipopost picha wakiwa kwenye ndege
yeye na Diamond,sasa leo zimepatikana picha zingine wote wakiwakwenye
pose tofauti tofaut kama wapendanao wa siku nyingi,haijafahamika ni nini
kinaendelea maana hakuna kati yao aliyesema chochote.,pengine wako
location,ama ni video maana wote ni wazamziki.Time will tell,Zari
anaaminika kuwa ndie msanii wa kike tajiri zaidi Africa mashariki,ni
mfanyabiashara na mwanamziki.
No comments:
Post a Comment