Mchezaji wa timu gani? Paka huyu alisababisha mechi isimame ili kwanza apite
|
Lionel Messi kushoto akifurahia baada ya kufunga mabao mawili |
Lionel
Messi aliifungia Barca bao la kwanza baada ya kuwazidi ujanja mabeki
sita Elche, kabla ya kinda Munir El Hadaddi kufunga la pili, mabao yote
kipindi cha kwanza.
Nyota wa Argentina, Lionel Messi alifunga bao lake la pili na la tatu la
kuhitimisha ushindi wa Barca baada ya jitihada binafsi kipindi cha
pili.
Paka mweusi alikatiza Uwanja wa Camp Nou mwanzoni tu mwa mchezo na kusababisha mechi isimame kwa muda ili aondoke
Kwa zaidi ya miaka 13 ya ndoa sikuweza kuzaa, naendelea kuharibika hata nikipata mimba, madaktari wote hawakuweza kunisaidia, hadi dada yangu akanielekeza kwa Dr DAWN, ambaye alinisaidia nikapata ujauzito na sasa hivi kuwa na mtoto mzuri wa kike,
ReplyDeleteAnasaidia pia marafiki zangu wengi niliowaelekeza, Dr DAWN ni baraka kwa kila mtu anayewasiliana naye,
*Kama unataka kupata mimba.
*Ukitaka kuacha kuharibika kwa mimba.
*Ukitaka kumrudisha mpenzi wako.
*Kama unataka mume/mkeo arudishwe.
*Kama unataka kurejesha mali yako iliyoibiwa au Pesa.
*Ukitaka kutibu aina yoyote ya ugonjwa,
Wasiliana naye kwa WhatsApp: +2349046229159