KATIKA HII PICHA LAZIMA UKUBALI SHILOLE NI MZURI TENA SANA.., ANGALIA JINSI WATU WALIVYOMFANANISHA NA RIHANA JINSI ALIVYOTOKEZEA..!!

Picha ya mwanamuziki wa nyimbo za mduara nchini,
Shilole Mohamed aka SHISHI BABY iliyozua gumzo kwenye mitandao ya
kijamii kama Insta.
Na kuwaacha mashabiki midomo wazi wakijiuliza
kama huyu ni Shilole wa Igunga au Rihhana, kutokana na muonekane wake
HOT n SEXY kama binti wa chuo.
No comments:
Post a Comment