31 May 2014

PICHA ZA KWANZA: MAJERUHI ALIYEKUWA PAMOJA NA TYSON KWENYE GARI



Mmoja wa majeruhi katika ajali, Gladys Chiduo 'Mc Zipomba' akiwa chini ya uangalizi wa nesi katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro akipatiwa matibabu mapema leo.
Mc Zipompa akiwa amepumzika baada ya kupatiwa matibabu.
(PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO/GPL)

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname