23 May 2014

HATIMAYE PENNY AKANUSHA ILE SKENDO YA KUWA NA MPENZI MPYA

Mwanadada, Penny akanusha kujihusisha na mahusiano na mwanaume mwingine ikiwa ni muda mchache tangu aripotiwe kuachana na msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Diamond Platnum.
Mwanadada huyo,ambaye alikanusha vikali tuhuma hizo, kwa madai kuwa baadhi ya watu wamekuwa wakifwatiria maisha yake kwa kumnyima uhuru kufanya jambo lolote lile.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname