24 May 2014

AJALI YA BASI ILIYOUWA MTOTO MMOJA


Basi la abiria mali ya kampuni ya CHAKITO LONG WAY namba T354 ARK linalofanya safari zake kati ya jiji la Arusha na jiji la Dar es salaam limemgonga mtoto aliyekuwa akiendesha baiskeli na kumuua palepale baada ya kumuumiza vibaya wilayani Korogwe. Kwa mujibu wa shuhuda wetu mtoto huyo amegongwa na basi hilo alipokuwa akivuka barabara na basi hilo ambalo lilikuwa katika mwendowa kasi kuelekea jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname