30 April 2014

Tazama Picha 10 za watu maarufu wakila ndizi kupinga Ubaguzi wa Rangi aliofanyiwa Dani Alves, yumo Waziri na msanii Nigeria.


davidoKwenye mechi kati ya Barcelona na Villareal kuna shabiki mmoja alimrushia ndizi Mbrazil Dani Alves anaeichezea Barca kitendo ambacho kilionyesha kabisa ni ubaguzi wa kufananishwa na Nyani ambapo Dani aliiokota ndizi hiyo na kuila kabla ya kupiga mpira wa kona na kuifanya kama sio ishu.


Baada ya hapo Dani alisema aliamua kula ndizi hiyo kwa sababu baba yake mzazi aliwahi kumwambia kuhusu umuhimu wa mwili wa mwanadamu kupata ndizi.
Ni kitendo kilichosifiwa sana na baadae kuwa topic kubwa ambapo mastaa mbalimbali wamejitokeza kumsupport Dani na kupinga ubaguzi kwa kupiga picha wakiwa wanakula ndizi ambapo miongoni mwao ni Staa wa muziki kutoka Nigeria Davido, mastaa wa soka kama Emmanuel Adebayor, Samuel Eto’o, Neymar na wengine kama wanavyoonekana hapa chini.
TZA SAMUEL ETOO VITA DHIDI YA UBAGUZI WA RANGI
Screen Shot 2014-04-30 at 1.58.22 PM
Screen Shot 2014-04-30 at 1.58.36 PM
Screen Shot 2014-04-30 at 1.58.53 PM
Screen Shot 2014-04-30 at 1.59.24 PM
Screen Shot 2014-04-30 at 1.59.32 PMScreen Shot 2014-04-30 at 2.16.05 PMScreen Shot 2014-04-30 at 2.15.54 PM 
 Screen Shot 2014-04-30 at 2.15.44 PM
 
 Screen Shot 2014-04-30 at 2.15.31 PMScreen Shot 2014-04-30 at 2.15.21 PMScreen Shot 2014-04-30 at 2.15.10 PMScreen Shot 2014-04-30 at 2.14.57 PM

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname