04 April 2014

Mafikizolo kuwasili leo jijini Dar es Salaam

Kundi maarufu la muziki wa Kwaito la nchini Afrika kusini, Mafikizolo linatarajia kuwasili leo jijini jijini Dar es Salaam kwa ajili ya onesho moja tu linalotarajia kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Jumamosi ya April 5. Mafikizolo imekuwa na rekodi nzuri ya kushinda kwenye tuzo mbalimbali za muziki

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname