Chuo Kikuu cha Dodoma kinawatangazia waombaji wa kazi mbalimbali kuwa usahili wa kuandika utafanyika Jumamosi ya tarehe 8 Machi, 2014 na Jumapili ya tarehe 9 Machi, 2014. Usahili huu utafanyika kuanzia saa tatu asubuhi katika kumbi za mihadhara ya Skuli ya Sanaa na Lugha kama ifuatavyo:
Jumamosi tarehe 8 Machi 2014
1. Maafisa Rasilimali Watu na Tawala
2. Maafisa Mipango
3. Madereva
4. Wahudumu
5. Makatibu Muhtasi
6. Wahudumu wa Afya
Jumapili tarehe 9 Machi 2014
1. Wahasibu Wasaidizi
2. Wakaguzi wa Ndani Wasaidizi
3. Watunza Kumbumbu Wasaidizi
4. Wasimamizi wa Mifumo ya Kompyuta Mtandao
No comments:
Post a Comment