Hii imetokea huko Ufarasa baada ya John Dowling (58) na mwanae Rob (23)kuanza kushindana kuserereka kwenye barafu, mchezo ambao upendwa sana nchini Ufaransa, Baba huyo na mwanae walitumia kiwanja cha barafu ambacho kilikua kinaandaliwa kwa ajili ya mashindano siku inayofata, huku ikiwa imewekwa mageti special ili watu wasipite kwa kuwa uwanja ulikiua kwenye maandalizi.
Hapo ndipo alipo anguka na kujigonga kwenye Geti hilo la Chuma |
Mtoto huyo aliweza kumpita baba yake, huku baba huyo akijaribu kuongeza mwendo ili amfikie mwanae kwa bahati mbaya akatereza vibaya na kuanguka na kujigonga kwenye geti na kumfanya damu nyingi kuanza kumtoka kichani kwake.
SOMA ZAIDI HAPA
SOMA ZAIDI HAPA
No comments:
Post a Comment