MMH..NAHISI NINA MIMBA BUT NAMUONEA HURUMA BOY WANGU BADO HANA KAZI JAMANI..!!NISAIDIENI..
Nimepata mimba kwakweli sitaki kuitoa ila namuonea huruma mpenzi wangu
hana kazi na mimi pia bado hata sijamaliza chuo. wazazi wangu sasa hivi
wananifikiria mimi tu sasa nikiwaletea na mtoto tena itakuwaje wakati
mimi tu wananishindwa.
Naombeni Ushauri Jaman.
No comments:
Post a Comment