Amini usi
Amini huyu jamaa wa kwenye picha ndio yule muwaji ndugu zetu watanzania
wenzetu tisa kule tarime . Kwa masikitiko makubwa na simazi tele toka
kwa mwanadam yoyote mwenye roho ya
ubinaadam na upendo lazima swala zima la mauwaji ya tarime la wanachi na
watoto walio uliwa bila sababu ya msingi litakuwa
limekugusa na bado limeacha jeraha kubwa kwa ndugu jamaa na familia za
marehem kwakuwa walio pigwa risasi na kupoteza maisha yao hakuna baya
lolote walilo fanya paka kiasi cha kukatishiwa uhai wao bila sababu
zamsingi . Huyu muwaji hivi sasa yupo mikononi mwa jeshi la polisi wa
tanzania kwa mtazamo wako je unadhani adhabu gani stahiki inamfaa kwa
vitendo vyake vya mauwaji alivyo fanya ? comment kwakuwa mawazo yako ni
muhim sana
No comments:
Post a Comment