09 February 2014

HATIMAYE JAMBAZI ALIYEUA WANANCHI 9 TARIME ANASWA

Amini usi Amini huyu jamaa wa kwenye picha ndio yule muwaji ndugu zetu watanzania wenzetu tisa kule tarime . Kwa masikitiko makubwa na simazi tele toka kwa mwanadam yoyote mwenye roho ya ubinaadam na upendo lazima swala zima la mauwaji ya tarime la wanachi na watoto walio uliwa bila sababu ya msingi litakuwa limekugusa na bado limeacha jeraha kubwa kwa ndugu jamaa na familia za marehem kwakuwa walio pigwa risasi na kupoteza maisha yao hakuna baya lolote walilo fanya paka kiasi cha kukatishiwa uhai wao bila sababu zamsingi . Huyu muwaji hivi sasa yupo mikononi mwa jeshi la polisi wa tanzania kwa mtazamo wako je unadhani adhabu gani stahiki inamfaa kwa vitendo vyake vya mauwaji alivyo fanya ? comment kwakuwa mawazo yako ni muhim sana

Amini usi Amini huyu jamaa wa kwenye picha ndio yule muwaji ndugu zetu watanzania wenzetu tisa kule tarime . Kwa masikitiko makubwa na simazi tele toka kwa mwanadam yoyote mwenye roho ya ubinaadam na upendo lazima swala zima la mauwaji ya tarime la wanachi na watoto walio uliwa bila sababu ya msingi litakuwa limekugusa na bado limeacha jeraha kubwa kwa ndugu jamaa na familia za marehem kwakuwa walio pigwa risasi na kupoteza maisha yao hakuna baya lolote walilo fanya paka kiasi cha kukatishiwa uhai wao bila sababu zamsingi . Huyu muwaji hivi sasa yupo mikononi mwa jeshi la polisi wa tanzania kwa mtazamo wako je unadhani adhabu gani stahiki inamfaa kwa vitendo vyake vya mauwaji alivyo fanya ? comment kwakuwa mawazo yako ni muhim sana

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname