12 February 2014

DADA HUYU MWENYE ULIMI MREFU KUPITA WATU WOTE DUNIANI, MCHEKI HAPA


duniani watu wameumbwa tofauti tofauti kabisa .. sio kwamba mwenyezi mungu amekosea la asha! ana makusudi yake kabisaaa na kama wote tungeumbwa yunafanana pata picha ingekuwaje? jibu ni moja tu kusingekuwa na maisha.... katika binadamu aliyeshangaza wengi ni huyu ambaye ulimi wake ni mrefu kuliko binadamu wa kawaida... naomba uchukue mda wako mdogo tu kumtizama akifanya yake  hapa chini 

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname