25 January 2014

TAZAMA VIDEO HAPA UONE JINSI JUSTIN BIEBER ALIVYOPANDISHWA KZIMBANI BAADA YA KUKAMATWA AKIENDESHA GARI AKIWA KALEWA


Video ya kwanza imetoka ikimuonyesha Justin Bieber akiwa kizimbani baada ya kukamatwa na polisi kwa makosa matatu.
Makosa matatu ambayo JB alikamatwa nayo moja wapo lilikua ni kujaribu kukwepa polisi
wasimkamate na  mengine kuendesha gari baada ya kutumia kilevi na pia leseni yake ilikua imepita muda wa matumizi.
Jaji wa kesi hiyo alitoa hukumu ya Justin Bieber kulipa dola 2500 ambapo dola 1000 kwa kujaribu kuwakwepa polisi,1000 kwa driving under influence na 500 kwa leseni iliyokwisha muda wake. x2Justin Bieber akiwapungia mkono mashabiki wake baada ya kutoka jela
credit : millard ayo

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname