Ndugu wa karibu wa Johari ameshindwa kuweka wazi ni hospitali gani ambayo Johari amelazwa na kusema kuwa wanashindwa kusema mahali alipolazwa Johari kutokana na usumbufu wa waandishi wa habari ” kwakweli Johari anaumwa sana na tunaomba dua zenu tu” Alisema ndugu huyo wa johari.
@ Deogratius Shija


No comments:
Post a Comment