23 January 2014

AJALI BAADA YA KUUA WANNE JANA ...WANAFUNZI WENGINE WENDELEA VYEMA NA MATIBABU HOSPITALINI

WANAFUNZI WANNE WAFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA GARI WAKATI WAKIKIMBIA MCHAKAMCHAKA HUKO MTWARA.
Wanafunzi wanne Wa shule ya sekondari Mustapha Sabodo mjini Mtwara wamekufa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari aina ya Benz wakiwa kwenye mchakamchaka asubuhi ya leo.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname