14 December 2013

HABARI MBAYA KWA MAN UNITED! ROBIN VAN PERSIE NJE, KUKOSA MECHI 8

Straika wa Man United, Robin van Persie.
Straika wa Man United, Robin van Persie atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa mwezi moja na kukosa mechi nane za timu yake kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya nyama za paja.
Mshambuliaji huyo alianza kupata maumivu katika mechi dhidi ya Shakhtar Donetsk, Jumanne iliyopita, maana yake ni kuwa atakuwa nje ya uwanja mpaka Januari mwakani.
Mechi ambazo atazikosa Van Persie ni:
Aston Villa, Desemba 15, 2013
Stoke, Desemba 18, 2014 
West Ham, Dec 21, 2013
Hull, Dec 26, 2013 
Norwich, Dec 28, 2013 
Tottenham, Jan 1, 2014 
Swansea, Jan 5, 2014 
Swansea, Jan 11, 2014

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname