18 November 2013

MSIBAAA...Mke wa Msanii Dk. John Wa WAGOSI WA KAYA afariki dunia hii Leo..!!


Habari zilizotufikia ni kua mke wa DR John mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Wagosi wa kaya amefariki dunia siku ya leo. Tunaendelea kutafuta mawasiliano na mwakilishi wetu ambaye atatuunganisha na DR John ili tuweze kuwaletea habari kamili. Bongoclan inatoa pole sana kwa familia ya DR John.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname