19 August 2013
TAHADHARI KWA WANAWAKE! OGOPA MAPENZI YA KICHAWI
Habari za leo THE CHOICE BLOG, ninaitwa JINA LINAHIFADHIWA ( Mama Jeska)...Nimekuwa muhanga wa uchawi wa mapenzi, yaani nilienda kwa mganga kutafuta dawa ya mapenzi ili nimtulize mwanaume wangu, kinyume chake dawa imekuwa na nguvu sana kiasi yule mwanaume amekuwa kama zezeta. Ninaandika waraka huu ili kutoa onyo kwa wanawake wenzangu ambao wanaendekeza mapenzi ya
kichawi. Nitashukuru sana endapo utauchapisha waraka wangu kwenye blogu yako, na ikiwezekana uusambaze kwenye blogu zingine pia, ili wanawake wenzangu wajifunze ( Naomba, ufiche email yangu na jina langu halisi, Jina la Mama Jesca halina shida, linaweza kutumika )
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment