
MWANAMKE mkaazi wa eneo la Sahare jijini Tanga (jina limehifadhiwa) amemtandika mwanae wa kiume hali iliyopelekea wasamaria wema kuingilia zogo hilo na kumshika mama huyu ili asiendelee kumuadhibu mtoto huyo.
Kutokana na kipigo hicho mtoto tayri alishaanza kupoteza sauti baada ya kulia kwa mda mrefu lakini cha kushangazamama huyu alizirai kwa hasira baada ya wasamalia wema hao mara baada ya kumzuia kabla ya hamu yake ya kumtwanga mwananae haijaisha.
No comments:
Post a Comment