16 August 2013

HII NDO VIDEO IKIONYESHA DIAMOND ALIVYO SABABISHA MASHABIKI KUANZA KURUSHA CHUPA JUKWAANI BAADA YA KUCHELEWA KUPANDA HUKO MOMBASA

Siku ya jumamosi Diamond alipiga show ya nguvu pande za Mombasa ambayo washabiki wake hawata weza kuisahau.
Mashabiki walianza kurusha chupa jukwaani baada ya Diamond kuchelewa kupanda kwenye stage. Siku chache zilizopita Diamond
alisema kwamba alichelewa kupanda kwenye jukwaa kwa sababu alikuwa bado hajalipwa pesa zake.
Diamond was forced to appear on stage hurriedly after fans who had been waiting for his performance for hours started hurling bottles on the stage when other artists were performing. But once he took the stage, his fans never went back to their seats.

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname