
Msanii
huyo amekamatiliwa kutokana na kufanya utapeli katika show aliyotakiwa
kufanya katika ukumbi wa Jambolee uliyopo manispaa ya Songea mkoani
ruvuma. Baada ya kuja ukumbini akiwa amelewa hali iliyompelekea
kushindwa kufanya show na kusababisha hasara katika ukumbi baada ya
kufanya
fujo ya kuvunja vitu ukumbi hapo, Ndipo waandaaji wa show hiyo walipo amua ifanyike kesho yake na kiingilo kiwe ni kununua bia .
fujo ya kuvunja vitu ukumbi hapo, Ndipo waandaaji wa show hiyo walipo amua ifanyike kesho yake na kiingilo kiwe ni kununua bia .
Wakati
huo msanii huyo alitakiwa akafanye show ingine wilaya ya Mbinga ambayo
ilikuwa ni sehemu ya mkataba wao lakini hakufanya hivo na matokeo yake
akaamua kukata Tiketi kurudi Dar es Salaam , Baada ya kuvuja taarifa
hizo walimfata hadi alipo kuwa amefikia nakukuta amehamia sehemu
ingine.
No comments:
Post a Comment