19 May 2013

FFU KUTOKA MBEYA KUWASILI MJINI IRINGA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA


Habari  ambazo zimetua  hivi punde katika mtandao huu  zinadai kuwa msafara  wa askari  wa FFU  pamoja na gari la zimamoto  kutoka  jiji la Mbeya  upo njiani  kuja  mjini Iringa  kuongeza nguvu  zaidi .

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname