![]() |
Atletico wakishangilia bao la pili |
![]() |
Refa wa mechi ya leo, Dennis Batte wa Uganda |
![]() |
kipa aliyedaka leo Atletico, anaitwa Kaseja kwa jina la utani, jina lake halisi ni Said Ndikumana |
![]() |
Yanga kama wamemwagiwa maji, kufungwa noma |
![]() |
Mtakatifu Tom akimpa 'bravo' kocha wa Atletico, Kaze |
![]() |
Yanga wapolee |
![]() |
Muuwaji wa Yanga, Olivier Ndikumana jezi namba 7 |
![]() |
Sekeseke langoni mwa Atletico |
![]() |
Kizaa zaa langoni mwa Atletico |
No comments:
Post a Comment