Showing posts with label OMARY OMARY. Show all posts
Showing posts with label OMARY OMARY. Show all posts

09 January 2013

Angalia Picha....MWANAMUZIKI OMAR OMAR AZIKWA KATIKA MAZINGIRA YA VURUGU


Baadhi ya wasanii wakibadilishana mawazo kabla ya mazishi.


Waombolezaji akina mama.


Dully Syaks (katikati) akiwa na mapacha Sunche na Kapeto.


Baadhi ya wanamuziki wa kizazi kipya.


Mlevi nmmoja akicheza mbele ya waombolezaji.


Mwili wa marehemu ukisaliwa nyumbani kabla ya kupelekwa makaburini.


Umati ukiwa tayari kwenda makaburini.


Vurugu zikiendelea wakati wa kwenda kuzika.


Vijana waliosababisha vurugu

TASWIRA ZA WAOMBOLEZAJI NYUMBANI KWA MAREHEMU OMAR OMAR TEMEKE-MIKOROSHINI JIJINI DAR

Ndugu na jamaa wakiwa na majonzi msibani kwa marehemu Omar Omar, Temeke-Mikoroshini jijini Dar.

Marehemu Omar Omar enzi za uhai wake.

Dada wa marehemu (hakufahamika jina lake mara moja) akiwasiliana na ndugu wengine ambao hawapo msibani.

Mwanamuziki wa kizazi kipya, Dully Sykes, mwenye T-shirt  ya mistari (nyuma katikati) akibadilishana mawazo na wazee msibani hapo.

Meneja wa marehemu, Bonga Ticha (kushoto) akiwa na meneja wa kundi la muziki la Wanaume Family, Mkubwa Fella.

Baadhi ya wasanii wa muziki wa kizazi kipya na mameneja wao wakiwa msibani hapo.
Waombolezaji mbalimbali wakiwemo wasanii wa muziki wa kizazi kipya, leo wamekusanyika nyumbani kwa mwanamuziki mkongwe wa miondoko ya mnanda, Omar Omar Mfungilo, aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo nyumbani kwao Temeke-Mikoroshini,

Comments system

Disqus Shortname