Showing posts with label LULU. Show all posts
Showing posts with label LULU. Show all posts

21 December 2012

UTATA WA TAARIFA KUHUSU LULU KUPEWA DHAMANA



 Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mwandishi wa habari wa Clouds FM, msanii wa filamu Elizabeth Michael maarufu Lulu hajatoka nje kwa dhamana bali kesi yake iliyosikilizwa leo kwenye mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam itahamishiwa kwenye mahakama kuu ya Tanzania. Leo mashahidi zaidi ya sita wametoa ushahidi wao mahakamani hapo akiwemo yeye mwenye Lulu aliyesimulia jinsi tukio hilo lilivyo kuwa.
source bongo5

22 October 2012

Angalia ..PICHA .Msanii LULU AKITOKA MAHAKAMANI LEO

Elizabeth Michael a.k.a LULU, (Katikati), akielekea kupanda basi la magereza kwenye viwanja vya Mahakama ya Hakimu Kkazi Kisutu, baada ya kesi inayomkabili ya kutuhumiwa kumuua msanii mwenzake, Hayati Steven Kanumba, kuahirishwa

LULU akielekea kupanda gari tayari kwa safari ya Segerea



05 October 2012

HUU ndo MUONEKANO wa LULU AKIWA MAHAKAMANI LEO HII

 
Lulu akizungumza na Wakili wake Peter Kibatala wakati akisubiri usafiri wa kurudi Segerea.

Comments system

Disqus Shortname