Jeneza lililobeba mwili wa marehemu likiwa Kanisani kwa ajili ya kuombewa.
Na Waandishi Wetu,
DAR
ES SALAAM: Tamko zito limetolewa na waombolezaji kufuatia kifo cha bosi
wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja wa Kampuni ya Zanzibar Telecom Limited
(Zantel), Gabriel Kamukara, 39, (pichani) kuuawa kwa kupigwa risasi na
watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi.
No comments:
Post a Comment