Aliyekuwa
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna mstaafu
Alfred Tibaigana amesema Rais John Magufuli amepatikana wakati sahihi,
kwa kuwa nchi inamhitaji kiongozi ambaye akitoa amri inatekelezwa mara
moja. Kauli ya Tibaigana inakuja takribani miezi 15 tangu aliposema
anatamani kuiona Tanzania ikimpata rais dikteta kwa kuwa nchi haiwezi
kupiga hatua iwapo mkuu wa nchi hataweza kukemea na kutoa amri watu
wakatii.
No comments:
Post a Comment