16 December 2015

MWENYEKITI WA CHADEMA MH MBOWE ATOA KAULI KUHUSU RAIS MAGUFULI ,AFUNGUKA MAZITO

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amezungumzia kasi aliyoanza nayo rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli pamoja na baraza lake la mawaziri.
Akizungumza jana na mwandishi wa habari wa Azam TV, Mbowe alisema kuwa rais Magufuli ameanza vizuri kiutendaji na kwamba ameanza kuzifanyia kazi hoja zilizokuwa zikihubiriwa na Chadema ndani na nje ya Bunge.  

No comments:

Post a Comment

Comments system

Disqus Shortname