Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya msiba wa Mjukuu wa Mhe. Rais
Dkt. John Magufuli, Maryfaustna Mlyambina, aliyefariki Nov 11, 2015.
Shughuli za kuagwa mwili wa marehemu zilifanyika leo Nov 13, 2015 Kimara
jijini Dar es Salaam, na baadaye msiba huo kusafirishwa kuelekea Mkoani
Mwanza kwa maziko.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa Mjukuu wa Mhe
Rais John Magufuli, marehemu Maryfaustna Mlyambina, wakati wa shughuli
za kuaga zilizofanyika Kimara jijini Dar es Dalaam,leo Nov 13, 2015.
No comments:
Post a Comment